Swali: Ni ipi hukumu ya kuchelewesha kurusha mawe katika masiku ya tashriyq mpaka ile siku ya mwisho pasina udhuru?
Jibu: Ni sawa. Udhuru unaptikana katika msongamano au udhaifu. Kuhusiana na mtu mwenye nguvu haifai kwake kuchelewesha mawe. Anatakiwa kurusha kila siku. Hili ndio la wajibu. Lakini ikiwa ni mgonjwa au mzee au mwanamke asiyekuwa na uwezo, ni sawa akachelewesha kurusha mawe mpaka msongamano ukaisha. Katika hali hii inajuzu kuchelewesha mpaka ile siku ya mwisho kwa sababu ya haja
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14331228.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Ni ipi hukumu ya kuchelewesha kurusha mawe katika masiku ya tashriyq mpaka ile siku ya mwisho pasina udhuru?
Jibu: Ni sawa. Udhuru unaptikana katika msongamano au udhaifu. Kuhusiana na mtu mwenye nguvu haifai kwake kuchelewesha mawe. Anatakiwa kurusha kila siku. Hili ndio la wajibu. Lakini ikiwa ni mgonjwa au mzee au mwanamke asiyekuwa na uwezo, ni sawa akachelewesha kurusha mawe mpaka msongamano ukaisha. Katika hali hii inajuzu kuchelewesha mpaka ile siku ya mwisho kwa sababu ya haja
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14331228.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/kuchelewesha-kurusha-mawe-pasina-udhuru/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)