Swali: Baadhi yao wamesema ya kwamba kila ambacho kimewezekana kuwa ni miujiza kwa Nabii kinawezekana vilevile kuwa ni karama kwa walii hata kuhuisha maiti. Wamenasibisha hilo kwa Salaf. Je, ni sahihi?
Jibu: Kuhuisha maiti hili ni batili. Hakuna yeyote katika mawalii mwenye kuhuisha maiti. Hii ni miujiza kwa ´Iysaa (´alayhis-Salaam) peke yake. Haiwi kwa mwengine. Ama karama za mawalii ni miujiza ya Manabii kwa kuwa hawakufikia karama hizi isipokuwa kwa sababu ya kuwafuata kwao Manabii.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-2-8.mp3
- Imechapishwa: 18/08/2020
Swali: Baadhi yao wamesema ya kwamba kila ambacho kimewezekana kuwa ni miujiza kwa Nabii kinawezekana vilevile kuwa ni karama kwa walii hata kuhuisha maiti. Wamenasibisha hilo kwa Salaf. Je, ni sahihi?
Jibu: Kuhuisha maiti hili ni batili. Hakuna yeyote katika mawalii mwenye kuhuisha maiti. Hii ni miujiza kwa ´Iysaa (´alayhis-Salaam) peke yake. Haiwi kwa mwengine. Ama karama za mawalii ni miujiza ya Manabii kwa kuwa hawakufikia karama hizi isipokuwa kwa sababu ya kuwafuata kwao Manabii.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-2-8.mp3
Imechapishwa: 18/08/2020
https://firqatunnajia.com/walii-anaweza-kuhuisha-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)