Swali: Je, katika Qur-aan kuna kitu katika majaaz?
Jibu: Hapana. Qur-aan yote ni hakika na ndani yake hakuna majaaz. Wale wanaosema kuna majaaz katika Qur-aan wamekosea katika hili. Ibn-ul-Qayyim amewaita kuwa ni “Twaaghuut wa Majaaz”. Wakija kwenye majina na sifa za Allaah ndio wanasema kuwa ni majaaz. Wanahukumu kwa kutumia Twaaghuut ambayo ni majaaz. Haijuzu kufanya hivi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-2-8.mp3
- Imechapishwa: 18/08/2020
Swali: Je, katika Qur-aan kuna kitu katika majaaz?
Jibu: Hapana. Qur-aan yote ni hakika na ndani yake hakuna majaaz. Wale wanaosema kuna majaaz katika Qur-aan wamekosea katika hili. Ibn-ul-Qayyim amewaita kuwa ni “Twaaghuut wa Majaaz”. Wakija kwenye majina na sifa za Allaah ndio wanasema kuwa ni majaaz. Wanahukumu kwa kutumia Twaaghuut ambayo ni majaaz. Haijuzu kufanya hivi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-2-8.mp3
Imechapishwa: 18/08/2020
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-majaaz-katika-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)