Swali: Mtu ambaye amelala na kukosa swalah aadhini kwa ajili yake?
Jibu: Msingi ni kuadhini hata kama wakati wa adhaana umeshatoka. Lakini ikiwa ni ndani ya wakati watu wameshaadhini na inatosha. Yeye atakimu tu. Lakini akiamka baada ya jua kuchomoza Sunnah ni yeye kuadhini na kukimu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/هل-يوذن-للصلاة-الفاىتة
- Imechapishwa: 04/04/2024
Swali: Mtu ambaye amelala na kukosa swalah aadhini kwa ajili yake?
Jibu: Msingi ni kuadhini hata kama wakati wa adhaana umeshatoka. Lakini ikiwa ni ndani ya wakati watu wameshaadhini na inatosha. Yeye atakimu tu. Lakini akiamka baada ya jua kuchomoza Sunnah ni yeye kuadhini na kukimu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/هل-يوذن-للصلاة-الفاىتة
Imechapishwa: 04/04/2024
https://firqatunnajia.com/wakati-inapotakiwa-na-isipotakiwa-kuadhiniwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)