Swali: Wajinga ambao wanashirikisha kwenye makaburi bila ya kujua ilihali wanaishi ndani ya miji ya waislamu. Wametiwa mchanga wa machoni…
Jibu: Haijalishi kitu muda wa kuwa wanaishi kati ya waislamu na wamefikiwa na Qur-aan hawaingii ndani ya Ahl-ul-Fatrah na hawapewi udhuru.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24466/هل-يعذر-الجاهل-اذا-وقع-في-الشرك
- Imechapishwa: 17/10/2024
Swali: Wajinga ambao wanashirikisha kwenye makaburi bila ya kujua ilihali wanaishi ndani ya miji ya waislamu. Wametiwa mchanga wa machoni…
Jibu: Haijalishi kitu muda wa kuwa wanaishi kati ya waislamu na wamefikiwa na Qur-aan hawaingii ndani ya Ahl-ul-Fatrah na hawapewi udhuru.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24466/هل-يعذر-الجاهل-اذا-وقع-في-الشرك
Imechapishwa: 17/10/2024
https://firqatunnajia.com/wajinga-wanaofanya-shirki-ndani-ya-miji-ya-waislamu/