Swali: Una nasaha yoyote kwa mtu ambaye anawatukana wanachuoni ambao wamesimama kwa kazi ya kuwaraddi wenye kwenda kinyume na Qur-aan na Sunnah?
Jibu: Ni juu yake kutubu kwa Allaah (´Azza wa Jall). Kwa sababu anachukia haki. Kuwaraddi watu wa batili ni haki. Kubainisha kosa la kielimu la mwenye kukosea ni jambo la haki na la wajibu kufanya. Huyu anataka elimu ifichwe. Ni juu yake kutubu na amuombe Allaah msamaha juu ya hayo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15208
- Imechapishwa: 28/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)