Swali: Una nasaha yoyote kwa mtu ambaye anawatukana wanachuoni ambao wamesimama kwa kazi ya kuwaraddi wenye kwenda kinyume na Qur-aan na Sunnah?
Jibu: Ni juu yake kutubu kwa Allaah (´Azza wa Jall). Kwa sababu anachukia haki. Kuwaraddi watu wa batili ni haki. Kubainisha kosa la kielimu la mwenye kukosea ni jambo la haki na la wajibu kufanya. Huyu anataka elimu ifichwe. Ni juu yake kutubu na amuombe Allaah msamaha juu ya hayo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15208
- Imechapishwa: 28/06/2020
Swali: Una nasaha yoyote kwa mtu ambaye anawatukana wanachuoni ambao wamesimama kwa kazi ya kuwaraddi wenye kwenda kinyume na Qur-aan na Sunnah?
Jibu: Ni juu yake kutubu kwa Allaah (´Azza wa Jall). Kwa sababu anachukia haki. Kuwaraddi watu wa batili ni haki. Kubainisha kosa la kielimu la mwenye kukosea ni jambo la haki na la wajibu kufanya. Huyu anataka elimu ifichwe. Ni juu yake kutubu na amuombe Allaah msamaha juu ya hayo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15208
Imechapishwa: 28/06/2020
https://firqatunnajia.com/wajibu-kwa-wale-wenye-kuchukia-pale-ahl-ul-bidah-wanapopigwa-radd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)