Swali: Unaweza kukumbusha kuhusu kufunga siku ya ´Aashuuraa´? Ni ipi hukumu ya wale wanaojipiga makofi?
Jibu: Sifa zote njema ni stahiki ya Allaah juu ya kwamba waislamu hawajipigi makofi, hawaombolezi wala kuonyesha hasira. Mambo yalivyo ni kwamba wanatendea kazi Sunnah. Wanafunga siku ya ´Aashuuraa´ na siku moja kabla yake au siku moja baada yake kwa ajili ya kujitofautisha na mayahudi. Ni Sunnah iliyokokotezwa. Ni Sunnah iliyokokotezwa kufunga ´Aashuuraa´.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/node/14251
- Imechapishwa: 19/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)