Swali: Mimi ni kijana ambaye Allaah ameniongoza katika haki na nataka kufunga ´Aashuuraa´ na masiku mengine yote yenye ubora yasiyokuwa Ramadhaan. Je, tutegemee kalenda wakati wa kufunga ´Aashuuraa´ ili kuweza kulenga ile siku umeanza mwezi wa Allaah Muharram? Au salama zaidi ni mtu afunge siku moja kala na baada yake?
Jibu: Ni lazima kwako kutegemea mwezi mwandamo. Usipoona mwezi mwandamo basi chukua tahadhari; nako ni kule kukamilisha Dhul-Hijjah siku thelathini.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/402)
- Imechapishwa: 19/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)