Swali: Nimetatizwa juu ya jibu lako kuhusu kujenga kanisa. Je, kufuru inakuwa kwa kitendo chenyewe au inatokamana na I´tiqaad kwa hilo?
Jibu: Haijuzu kwa waislamu kujenga kanisa kwa sababu ni hekalu za makafiri. Hatuwasaidii makafiri. Hatuwajengei kanisa. Lakini wakikubali kuishi chini yenye hukumu ya Kiislamu na wakalipa Jizyah kuwapa Waislamu, kanisa zao zinaachwa. Lakini hata hivyo wasikarabati katika hayo. Yaachwe hayo yaliyopo tu. Kitu kikiharibika kwenye makanisa wasikitengeneze. Wasiachwe wakawa na uwezo wa kukitengeneza. Kanisa zilizopo ndio zitaachwa tu.
Ama kuhusu sisi, hatuzitengenezi, hatuzikarabati wala kuwachanga juu yake. kwa sababu kunafanywa ndani yake kufuru. Wanaamini utatu. Wanasema kuwa al-Masiyh ni mwana wa Allaah. Wanaabudu msalaba ambao wanadai kuwa uko na sura ya ´Iysaa amesulubiwa, jambo ambalo ni uongo. Hatuwaachi wakafanya hivo. hatuwajengei kanisa. Hata katika miji yao wakikubali kuishi chini ya hukumu ya Kiislamu. Hatuwaachi wakajenga kanisa mpya. Tunawaacha tu wabaki na zile ambazo zimekutwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/nawaqid-18-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/04/2015
Swali: Nimetatizwa juu ya jibu lako kuhusu kujenga kanisa. Je, kufuru inakuwa kwa kitendo chenyewe au inatokamana na I´tiqaad kwa hilo?
Jibu: Haijuzu kwa waislamu kujenga kanisa kwa sababu ni hekalu za makafiri. Hatuwasaidii makafiri. Hatuwajengei kanisa. Lakini wakikubali kuishi chini yenye hukumu ya Kiislamu na wakalipa Jizyah kuwapa Waislamu, kanisa zao zinaachwa. Lakini hata hivyo wasikarabati katika hayo. Yaachwe hayo yaliyopo tu. Kitu kikiharibika kwenye makanisa wasikitengeneze. Wasiachwe wakawa na uwezo wa kukitengeneza. Kanisa zilizopo ndio zitaachwa tu.
Ama kuhusu sisi, hatuzitengenezi, hatuzikarabati wala kuwachanga juu yake. kwa sababu kunafanywa ndani yake kufuru. Wanaamini utatu. Wanasema kuwa al-Masiyh ni mwana wa Allaah. Wanaabudu msalaba ambao wanadai kuwa uko na sura ya ´Iysaa amesulubiwa, jambo ambalo ni uongo. Hatuwaachi wakafanya hivo. hatuwajengei kanisa. Hata katika miji yao wakikubali kuishi chini ya hukumu ya Kiislamu. Hatuwaachi wakajenga kanisa mpya. Tunawaacha tu wabaki na zile ambazo zimekutwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/nawaqid-18-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 11/04/2015
https://firqatunnajia.com/waislamu-hawajengi-kanisa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)