Kutoka kwa Muhammad bin Ibraahiym kwenda kwa muheshimiwa hakimu X.
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته
Nakuwasilishia kisa cha bwana huyu X ambaye ametaja kwamba amemjamii mke wake mchana wa Ramadhaan hali ya kuwa walikuwa ni wajinga wakiishi mashambani na hawakuwa wakijua kuwa tendo la ndoa mchana wa Ramadhaan ni haramu. Likagueni jambo lao ikiwa ni wakweli na kwamba walikuwa hawajui kuwa ni haramu. Vinginevyo yatawagusa yale yanayopelekea katika kulipa na kutoa kafara kwa wote wawili muda wa kuwa mke naye alikubaliana na jambo hilo na watakamilisha yale mengine yanayopelekea kuhusiana na hilo.
Muftiy wa Saudi Arabia
14/03/1387
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (04/195-196)
- Imechapishwa: 20/03/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)