Swali: Wafanyakazi wanamletea meneja wa idara peremende, biskuti na baadhi ya vyakula na baadhi ya vinywaji kama vile chai na kahawa.
Ibn Baaz: Wanamletea zawadi kutoka katika pesa zao au pesa za idara?
Muulizaji: Wanamletea zawadi kutoka katika pesa zao.
Jibu: Hapana, asichukue kitu kutoka kwao. Amefanana na kiongozi na hivyo asichukue kitu kutoka kwao. Kitendo hicho kinaweza kusababisha matatizo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22297/حكم-اهداء-الهدايا-لمدير-الادارة
- Imechapishwa: 29/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)