Swali: Mtu aanze kumuhudumia nani ikiwa katika kikao yuko mzee, mwanachuoni na ambaye amehifadhi Qur-aan?
Jibu: Aanze upande wa kulia. Akinywa basi aanze upande wa kuume. Haijalishi kitu hata kama ambaye yuko upande wa kuume ni mtu mjinga. Isipokuwa ikiwa ataomb idhini.
Swali: Aanze kumpa mtumzima au mwanachuoni?
Jibu: Aanze kumpa aliye upande wa kuume wake.
Swali: Aanze kumpa aliye upande wa kulia kwake pale tu atakapoanza kuingia katika kikao?
Jibu: Hapana. Aanze kumpa kiongozi wa kikao kisha kiongozi wa kikao ataanza kumpokeza aliye upande wake wa kuume.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22299/هل-يبدا-باليمين-ولو-كان-بالمجلس-كبير-وعالم
- Imechapishwa: 29/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)