Swali: Baadhi ya mahujaji wanapomaliza kuhiji wanaosha mavazi ya Ihraam kwa maji ya zamzam na wanafanya ndio sanda yao. Je, kuna ubaya kufanya hivo?

Jibu: Hapana neno. Maji ya zamzam ni maji yenye baraka.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22294/حكم-غسل-ملابس-الاحرام-بزمزم-وجعلها-كفنا
  • Imechapishwa: 29/01/2023