Swali: Je, inajuzu kutafuta elimu kutoka kwa Ahl-ul-Bid´ah na kusoma vitabu vyao kwa kukosekana vitabu vya Ahl-us-Sunnah katika mji wangu?
Jibu: Ahl-us-Sunnah wapo na vitabu vyao vinapatikana.
Lakini hata hivyo unachotakiwa kufanya ni wewe kutafuta na kupupia hilo. Usisome kwa Ahl-ul-Bid´ah na vitabu vya watu wa Bid´ah. Usiviamini. Kwa kuwa ni kama chakula chenye sumu kinachoua.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ls–14340420.mp3
- Imechapishwa: 09/04/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)