Swali: Ni ipi nasaha yako kwa yule ambaye anasoma Qur-aan kidogo?
Jibu: Nasaha zetu asome Qur-aan kwa wingi. Qur-aan ni nyepesi. Jaalia wakati sawa ikiwa ni usiku au mchana usome kile ambacho itakuwa sahali kwako na udumu kufanya hivo. Kudumu juu ya jambo la kheri, hata kama jambo hilo litakuwa dogo, ndani yake kuna kheri kubwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kitendo kinachopendwa sana na Allaah ni kile chenye kudumu hata kama kitakuwa kichache.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
- Imechapishwa: 09/04/2015
Swali: Ni ipi nasaha yako kwa yule ambaye anasoma Qur-aan kidogo?
Jibu: Nasaha zetu asome Qur-aan kwa wingi. Qur-aan ni nyepesi. Jaalia wakati sawa ikiwa ni usiku au mchana usome kile ambacho itakuwa sahali kwako na udumu kufanya hivo. Kudumu juu ya jambo la kheri, hata kama jambo hilo litakuwa dogo, ndani yake kuna kheri kubwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kitendo kinachopendwa sana na Allaah ni kile chenye kudumu hata kama kitakuwa kichache.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
Imechapishwa: 09/04/2015
https://firqatunnajia.com/tenga-wakati-wa-kusoma-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)