Swali: Je, ute wa manjano na kahawia huwa ni alama ya kusafika kwa mwanamke ikiwa damu imesimama?
Jibu: Ikiwa ataona ute wa manjano baada ya kusafika, hana jukumu lolote. Alama hiyo ni kama mkojo. Katika hali hiyo anachotakiwa kufanya ni kutamba kwa maji na kutawadha wakati wa kila swalah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27561/هل-الكدرة-والصفرة-تكون-علامة-للطهر
- Imechapishwa: 12/04/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)