Swali: Mwanamke anayemkalia eda ndugu yake anatakiwa asitoke nyumbani?
Jibu: Anaweza kutoka, anaweza kubaki nyumbani na anaweza kuvaa mavazi mazuri kwa muda wa siku tatu.
Swali: Anafanya kazi shuleni?
Jibu: Anaweza kutoka kwenda shuleni. Atoke kwa ajili ya mahitaji yake. Haya ni miongoni mwa mahitaji – atoke kwa ajili ya kufundisha, akiwa mfanyakazi au mwanafunzi; haya ni miongoni mwa mahitaji. Lakini bila kujipamba wala kutumia manukato.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27562/حكم-خروج-المراة-من-البيت-فترة-الاحداد
- Imechapishwa: 12/04/2025
Swali: Mwanamke anayemkalia eda ndugu yake anatakiwa asitoke nyumbani?
Jibu: Anaweza kutoka, anaweza kubaki nyumbani na anaweza kuvaa mavazi mazuri kwa muda wa siku tatu.
Swali: Anafanya kazi shuleni?
Jibu: Anaweza kutoka kwenda shuleni. Atoke kwa ajili ya mahitaji yake. Haya ni miongoni mwa mahitaji – atoke kwa ajili ya kufundisha, akiwa mfanyakazi au mwanafunzi; haya ni miongoni mwa mahitaji. Lakini bila kujipamba wala kutumia manukato.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27562/حكم-خروج-المراة-من-البيت-فترة-الاحداد
Imechapishwa: 12/04/2025
https://firqatunnajia.com/katika-hali-hii-inafaa-kwa-mwanamke-ndani-ya-eda-kutoka/