Utajiri ni ule wa moyo. Mtu akijitosheleza na yale yaliyo kwa Allaah na kuacha kuomba yaliyo kwa watu, basi Allaah humtajirisha na kumfanya kuwa na moyo mtukufu usiomba vilivyo kwa watu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/196)
- Imechapishwa: 19/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)