Swali: Mtu afanye ´Umrah katika Ramadhaan kila mwaka au inatosha mara moja tu?
Jibu: Akifanya kwa wingi kila mwaka ni bora. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“´Umrah katika Ramadhaan inalingana na hajj.”
Swali: Vipi ikiwa atakariri ndani ya Ramadhaan mara moja au mara mbili?
Jibu: Hakuna kizuizi. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“´Umrah moja hadi nyingine ni kifutio cha madhambi kwa yale yaliyoko baina yake.”
Hakuweka kikomo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ni sawa akifanya ´Umrah kila mwaka au kila baada ya miezi miwili.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22850/هل-تستحب-العمرة-في-رمضان-كل-عام
- Imechapishwa: 29/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket