Swali: Tunatakiwa kuchukua msimamo gani juu ya Hadiyth dhaifu zilizotajwa katika baadhi ya vitabu vya wanazuoni?
Jibu: Umejuaje kama ni dhaifu? Wewe umezamilia katika elimu ya Hadiyth? Isitoshe Hadiyth dhaifu zinalingana? Ziko ambazo zinafika katika kiwango cha uzuri, zingine zinafanyiwa kazi katika kupendezesha na kukhofisha. Hili ni jambo la kuwaachia wanazuoni.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (35)
- Imechapishwa: 11/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)