Swali 15: Hali yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ilikuwa vipi kabla ya wahy?
Jibu: Alikuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akitumia nyusiku kadhaa kwenye pango la Hiraa´ akifanya ´ibaadah. Alikuwa akijichukulia riziki kwa ajili ya jambo hilo. Kisha akirudi kwa Khadiyjah na kuleta tena riziki kiasi hicho. Aliendelea katika hali hiyo mpaka haki ikamjilia akiwa katika pango la Hiraa´.
- Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 95
- Imechapishwa: 11/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)