Swali: Nini maana ya maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakika miongoni mwa uzushi mkubwa mno ni mtu kusimulia kwa ambayo hakuona [usingizi].”?
Jibu: Maana yake ni kwamba miongoni mwa uwongo mkubwa ni mtu kuelezea ambacho hakuona. Kama vile kusema kuwa ameota kadhaa na kadhaa, akamsemea uwongo Allaah (Jalla wa ´Alaa) au akamsemea uwongo Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ni lazima kwa muumini kuchunga ukweli katika ndoto zake na maneno yake mengine yote.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23375/معنى-ان-من-اعظم-الفرى-في-الحديث
- Imechapishwa: 05/01/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket