Swali: Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Asimweleze yeyote.”[1]
Ni kwa njia ya uharamu?
Jibu: Kuna upokezi mwingine unaosema:
“… isipokuwa anayempenda.”
Amweleze nayo anayempenda. Ndoto inayotokana na shaytwaan asimweleze yeyote.
Swali: Ni kwa njia ya machukizo au uharamu?
Jibu: Msingi ni kwamba makatazo yanapelekea katika uharamu. Huu ndio msingi. Hii ndio kanuni. Msingi wa makatazo yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yanapelekea katika uharamu. Isipokuwa yale yanayofahamisha kuwa inachukiza.
[1] Muslim (04/1772).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23374/ما-حكم-التحديث-بالروى-المنامية
- Imechapishwa: 05/01/2024
Swali: Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Asimweleze yeyote.”[1]
Ni kwa njia ya uharamu?
Jibu: Kuna upokezi mwingine unaosema:
“… isipokuwa anayempenda.”
Amweleze nayo anayempenda. Ndoto inayotokana na shaytwaan asimweleze yeyote.
Swali: Ni kwa njia ya machukizo au uharamu?
Jibu: Msingi ni kwamba makatazo yanapelekea katika uharamu. Huu ndio msingi. Hii ndio kanuni. Msingi wa makatazo yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yanapelekea katika uharamu. Isipokuwa yale yanayofahamisha kuwa inachukiza.
[1] Muslim (04/1772).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23374/ما-حكم-التحديث-بالروى-المنامية
Imechapishwa: 05/01/2024
https://firqatunnajia.com/uharamu-wa-kusimulia-ndoto-mbaya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)