Swali: Inafaa katika Ramadhaan kukusanya Maghrib na ´Ishaa na Tarawiyh wakati wa magharibi kukinyesha mvua?
Jibu: Ndio. Kukinyesha mvua, ugumu kwa sababu ya utelezi na utelezi katika masoko, basi bora ni kukusanya kwa ajili ya kuwawepesishia watu. Wakikusanya basi Tarawiyh itaswaliwa baada ya ´Ishaa. Kwa sababu hapo wakati wake utakuwa ni mmoja. Zikikusanywa kati yake katika wakati wa magharibi, basi Tarawiyh itaswaliwa baada yake. Ni sawa kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/15183/حكم-تقديم-صلاة-التراويح-عند-الجمع-لعذر
- Imechapishwa: 08/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)