Swali: Talaka wakati mwanamke yuko katika hedhi inahesabiwa?
Jibu: Inahesabiwa. Akimtaliki mara tatu kunapita. Hata hivyo anapata dhambi kwa kufanya hivo. Ikiwa ana haki ya kumrudi, afanye hivo. Kama hana haki ya kufanya hivo anatalikika na anajitenga naye. Aidha anapata dhambi kwa kufanya hivo. Kuhusu talaka yenyewe inapita. Inapita japokuwa ni haramu. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kumwambia Ibn ´Umar:
“Mwamrishe amrejee.”
Kumrudi hakukuwi isipokuwa kwa talaka iliyopita. Ingekuwa talaka haikupita asingemwambia (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amrejee mwanamke yule.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (7) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–15041434.mp3
- Imechapishwa: 16/12/2016
Swali: Talaka wakati mwanamke yuko katika hedhi inahesabiwa?
Jibu: Inahesabiwa. Akimtaliki mara tatu kunapita. Hata hivyo anapata dhambi kwa kufanya hivo. Ikiwa ana haki ya kumrudi, afanye hivo. Kama hana haki ya kufanya hivo anatalikika na anajitenga naye. Aidha anapata dhambi kwa kufanya hivo. Kuhusu talaka yenyewe inapita. Inapita japokuwa ni haramu. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kumwambia Ibn ´Umar:
“Mwamrishe amrejee.”
Kumrudi hakukuwi isipokuwa kwa talaka iliyopita. Ingekuwa talaka haikupita asingemwambia (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amrejee mwanamke yule.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (7) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–15041434.mp3
Imechapishwa: 16/12/2016
https://firqatunnajia.com/talaka-wakati-mwanamke-yuko-na-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)