Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kutukana dini?
Jibu: Kutukana dini ni ukafiri. Kumtukana Mtume ni ukafiri. Kuitukana dini pia ni kumkufuru Allaah. Hali kadhalika kuwatukana Maswahabah wote ni kufuru.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 86
- Imechapishwa: 16/12/2016
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kutukana dini?
Jibu: Kutukana dini ni ukafiri. Kumtukana Mtume ni ukafiri. Kuitukana dini pia ni kumkufuru Allaah. Hali kadhalika kuwatukana Maswahabah wote ni kufuru.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 86
Imechapishwa: 16/12/2016
https://firqatunnajia.com/kutukana-dini-mtume-na-maswahabah-wote-ni-ukafiri/