Swali: Je, inafaa kwa mume kumtaliki mke wake kwa sababu ya utuuzima wake peke yake?
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitaka kumtaliki Sawdah bint Zam´ah (Radhiya Allaahu ´anhaa) wakati alipokuwa mtumzima sana. Matokeo yake akamuomba ambakize na amzawadie usiku wake ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa).
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (38)
- Imechapishwa: 25/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)