Swali: Kuna mtu nimemfafanulia haki juu ya kulingana kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah, lakini ameendelea katika upotevu wake. Anakufuru kwa hilo kwa sababu anamzulia Allaah uongo?
Jibu: Hili halikuhusu. Wajibu wako ni kumbainishia. Akikubali, himdi zote ni za Allaah, na ikiwa hakukubali, amefikiwa na haki. Si jukumu lako kumfanyia Takfiyr au hapana.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14340324.mp3
- Imechapishwa: 18/06/2015
Swali: Kuna mtu nimemfafanulia haki juu ya kulingana kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah, lakini ameendelea katika upotevu wake. Anakufuru kwa hilo kwa sababu anamzulia Allaah uongo?
Jibu: Hili halikuhusu. Wajibu wako ni kumbainishia. Akikubali, himdi zote ni za Allaah, na ikiwa hakukubali, amefikiwa na haki. Si jukumu lako kumfanyia Takfiyr au hapana.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14340324.mp3
Imechapishwa: 18/06/2015
https://firqatunnajia.com/takfiyr-sio-jukumu-lako/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)