Yapo kwenye tafsiri za Qur-aan wakati unaposoma Qur-aan na kupitia kwenye [baadhi ya Aayah]. Hata hivyo kwa mfano Ibn Kathiyr na Ibn Jariyr [at-Twabariy] amefafanua majina na sifa. Tafuta kwenye vitabu vya tafsiri ya Qur-aan vyenye kuaminika, sio kwenye ya az-Zamakhshariy au wengine ambao wanapindisha maana ya sifa za Allaah.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14340324.mp3
  • Imechapishwa: 27/06/2015