Swali: Ni ipi hukumu ya kuleta Takbiyr za pamoja katika siku za ´iyd?
Jibu: Haijuzu kuleta Takbiyr za pamoja na du´aa za pamoja. Hii ni Bid´ah. Linalotakiwa ni kila mmoja kuleta du´aa peke yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (69) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-05-28.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuleta Takbiyr za pamoja katika siku za ´iyd?
Jibu: Haijuzu kuleta Takbiyr za pamoja na du´aa za pamoja. Hii ni Bid´ah. Linalotakiwa ni kila mmoja kuleta du´aa peke yake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (69) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-05-28.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/takbiyr-za-pamoja-siku-za-iyd/