Swali: Kuna mtu amefahamiana vibaya na jirani yake na wakakasirikiana. Mmoja wao anamtolea salamu mwenzake lakini huyo anayetolewa hamuitikii salamu. Je, wote wawili ni wenye kupata dhambi?
Jibu: Hapana, yule mwenye kutoa salamu ametekeleza wajibu wake. Mwenye kupata dhambi ni yule asiyeitikia salamu na ameacha jambo la wajibu juu yake na hataki suluhu. Huyu ndiye mwenye kupata dhambi. Ama yule anayetoa salamu, ametekeleza wajibu wake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (68) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-05-21.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Kuna mtu amefahamiana vibaya na jirani yake na wakakasirikiana. Mmoja wao anamtolea salamu mwenzake lakini huyo anayetolewa hamuitikii salamu. Je, wote wawili ni wenye kupata dhambi?
Jibu: Hapana, yule mwenye kutoa salamu ametekeleza wajibu wake. Mwenye kupata dhambi ni yule asiyeitikia salamu na ameacha jambo la wajibu juu yake na hataki suluhu. Huyu ndiye mwenye kupata dhambi. Ama yule anayetoa salamu, ametekeleza wajibu wake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (68) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-05-21.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/jirani-hataki-suluhu-na-mwenzake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)