Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali katika ardhi iliyoporwa?
Jibu: Kuna makinzano kati ya wanazuoni. Tahadhari zaidi ni yeye asiswali hapo, mosi kwa ajili ya kutoka nje ya tofauti, pili kwa ajili ya kuitakasa dhimma yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 10/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)