Swali: Baba akimlazimisha mtoto wake kumtaliki mke wake. Je, ni lazima kwa mtoto kumtii katika jambo hilo?

Jibu: Hapana, si lazima kwake kufanya hivo. Halazimiki kumtii katika kumwacha mke wake ikiwa hataki jambo hilo. Asimlazimishe juu ya jambo hilo.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
  • Imechapishwa: 10/06/2023