Hapa ndipo itafaa kwa mwanaume kuwafunza wanawake Qur-aan

Swali: Sisi tuko na jumuiya ya wanawake. Je, inafaa kwetu kumleta mwalimu mwanamme ili awafunze Tajwiyd waalimu wanawake?

Jibu: Ikiwa wanajisitiri kutokana naye, haina neno. Lakini ikiwa wanazifunua nyuso zao, haijuzu.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
  • Imechapishwa: 10/06/2023