Swali: Je, inafaa kuchukua viumbe vilivyo na roho kwa kutumia kamera ya video?

Jibu: Yote ni sawa. Kuchukua picha viumbe vyenye roho kwa kutumia njia yoyote ile, haijuzu, isipokuwa tu wakati wa dharurah.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
  • Imechapishwa: 10/06/2023