Swali: Mimi ni mwanafunzi katika chuo kikuu na masomo yanagongana na kuhudhuria darsa za wanazuoni misikitini. Unaninasihi nini juu ya hilo? Nitangulize kipi?
Jibu: Atangulize masomo ya vyuo vikuu. Kwa sababu hilo litapelekea kupoteza wakati wake na cheti chake. Litapelekea katika madhara kadhaa. Akipata muda wa ziada, ndio aende katika darsa za wanazuoni.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 10/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)