Wapi umenunua kitabu hichi?

Swali: Bwana mmoja aliniuliza ni wapi nimenunua kitabu changu msikitini. Je, swali lake linahesabika ni katika yale matangazo yaliyokatazwa ndani ya msikiti?

Jibu: Hapana, haya si katika matangazo.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
  • Imechapishwa: 11/06/2023