Swali: Kuna mwanamke amechora Suurat Yuunus (´alayhis-Salaam) kwa batili. Wakati Allaah (Ta´ala) anasema:
أَنَّ لَهُمْ قَدَمَ صِدْقٍ عِندَ رَبِّهِمْ
“… kwamba watapata cheo kitukufu mbele ya Mola wao.” (10:02)
anachora mguu. Wakati Allaah (Ta´ala) anasema:
ثُمَّ اسْتَوَىٰ عَلَى الْعَرْشِ
“Kisha akalingana juu ya ´Arshi.” (10:03)
anachora kiti. Ameichora Suurah yote namna hii.
Jibu: Hili halijuzu. Haijuzu kuifasiri Qur-aan kwa mapicha haya. Unachora kwa mujibu wa ufahamu wako?
أَنَّ لَهُمْ قَدَمَ صِدْقٍ عِندَ رَبِّهِمْ
“… kwamba watapata cheo kitukufu mbele ya Mola wao.” (10:02)
Hufahamu wala mguu wa mwanaadamu. Makusudio sio hayo. Unaweza kuifasiri Qur-aan kimakosa na ukazungumza juu ya Allaah pasina elimu. Qur-aan isifasiriwe kwa mapicha. Kwa ajili hiyo ndio maana wanacuoni wameikataa Tafsiyr ya Qur-aan ya Tantawiy Jawhariy[1] mmisri. Anajulikana. Anafasiri Aayah za Qur-aan kwa mapicha. Hili halijuzu.
[1] Tazama http://www.tantawi-gawhari.net/
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/nawaqid-18-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/04/2015
Swali: Kuna mwanamke amechora Suurat Yuunus (´alayhis-Salaam) kwa batili. Wakati Allaah (Ta´ala) anasema:
أَنَّ لَهُمْ قَدَمَ صِدْقٍ عِندَ رَبِّهِمْ
“… kwamba watapata cheo kitukufu mbele ya Mola wao.” (10:02)
anachora mguu. Wakati Allaah (Ta´ala) anasema:
ثُمَّ اسْتَوَىٰ عَلَى الْعَرْشِ
“Kisha akalingana juu ya ´Arshi.” (10:03)
anachora kiti. Ameichora Suurah yote namna hii.
Jibu: Hili halijuzu. Haijuzu kuifasiri Qur-aan kwa mapicha haya. Unachora kwa mujibu wa ufahamu wako?
أَنَّ لَهُمْ قَدَمَ صِدْقٍ عِندَ رَبِّهِمْ
“… kwamba watapata cheo kitukufu mbele ya Mola wao.” (10:02)
Hufahamu wala mguu wa mwanaadamu. Makusudio sio hayo. Unaweza kuifasiri Qur-aan kimakosa na ukazungumza juu ya Allaah pasina elimu. Qur-aan isifasiriwe kwa mapicha. Kwa ajili hiyo ndio maana wanacuoni wameikataa Tafsiyr ya Qur-aan ya Tantawiy Jawhariy[1] mmisri. Anajulikana. Anafasiri Aayah za Qur-aan kwa mapicha. Hili halijuzu.
[1] Tazama http://www.tantawi-gawhari.net/
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/nawaqid-18-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 11/04/2015
https://firqatunnajia.com/tafsiyr-za-qur-aan-zilizochorwa-kwa-picha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)