Swali: Je, wanachuoni wametofautiana juu ya masuala ya kupewa udhuru kwa ajili ya ujinga au hawakutofautiana?
Jibu: Kuna kauli tofauti juu ya mtu mwenye kupewa udhuru kwa ujinga wake kweli.
Ama kuhusu mtu ambaye hapewi udhuru kwa ujinga wake, tofauti katika suala hili haizingatiwi. Ni batili kuzingatia tofauti katika suala kama hili. Sio sahihi kuwapa udhuru watu wote. Ujinga una mipaka yake, sehemu zake na vidhibiti vyake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/nawaqid-18-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/04/2015
Swali: Je, wanachuoni wametofautiana juu ya masuala ya kupewa udhuru kwa ajili ya ujinga au hawakutofautiana?
Jibu: Kuna kauli tofauti juu ya mtu mwenye kupewa udhuru kwa ujinga wake kweli.
Ama kuhusu mtu ambaye hapewi udhuru kwa ujinga wake, tofauti katika suala hili haizingatiwi. Ni batili kuzingatia tofauti katika suala kama hili. Sio sahihi kuwapa udhuru watu wote. Ujinga una mipaka yake, sehemu zake na vidhibiti vyake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/nawaqid-18-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 11/04/2015
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-ujinga-ni-udhuru-1/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)