Swali: Katika Aayah ya kufanya mzaha[1] kuna dalili ya kuwasusa Ahl-ul-Bid´ah na wafanya maasi ikiwa hawatubii?
Jibu: Ndio, halina shaka. Ikiwa Ahl-ul-Bid´ah na wafanya maasi hawakubali haki na hawatubii wanasuswa.
————
(1) 09:65
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/nawaqid-18-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/04/2015
Swali: Katika Aayah ya kufanya mzaha[1] kuna dalili ya kuwasusa Ahl-ul-Bid´ah na wafanya maasi ikiwa hawatubii?
Jibu: Ndio, halina shaka. Ikiwa Ahl-ul-Bid´ah na wafanya maasi hawakubali haki na hawatubii wanasuswa.
————
(1) 09:65
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/nawaqid-18-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 11/04/2015
https://firqatunnajia.com/ahl-ul-bidah-wanasuswa-ikiwa-hawatubii/