Swali: Katika Aayah ya kufanya mzaha[1] kuna dalili ya kuwasusa Ahl-ul-Bid´ah na wafanya maasi ikiwa hawatubii?

Jibu: Ndio, halina shaka. Ikiwa Ahl-ul-Bid´ah na wafanya maasi hawakubali haki na hawatubii wanasuswa.

————

(1) 09:65

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/nawaqid-18-08-1435-01.mp3
  • Imechapishwa: 11/04/2015