Swali: Amefungua yule ambaye ataapa kwa wingi kipindi cha asubuhi au katika kipindi cha swawm?
Jibu: Kuapa kwa wingi ni dalili ya unyonge wa imani. Miongoni mwa kumtukuza Allaah ni muumini kutoapa kwa wingi. Amesema (Ta´ala):
وَلَا تَجْعَلُوا اللَّـهَ عُرْضَةً لِّأَيْمَانِكُمْ
“Wala msimfanye Allaah kuwa ni nyudhuru ya viapo vyenu.” (02:224)
وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ
”Chungeni viapo vyenu.” (05:89)
Hapa ni pale ambapo ataapa kwa jina la Allaah akiwa ni mkweli. Kuhusu swawm haiharibiki kwa kuapa kwa wingi. Lakini jambo hilo linaweza kupunguza thawabu zake.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (23/139) nr. (18641)
- Imechapishwa: 28/09/2022
Swali: Amefungua yule ambaye ataapa kwa wingi kipindi cha asubuhi au katika kipindi cha swawm?
Jibu: Kuapa kwa wingi ni dalili ya unyonge wa imani. Miongoni mwa kumtukuza Allaah ni muumini kutoapa kwa wingi. Amesema (Ta´ala):
وَلَا تَجْعَلُوا اللَّـهَ عُرْضَةً لِّأَيْمَانِكُمْ
“Wala msimfanye Allaah kuwa ni nyudhuru ya viapo vyenu.” (02:224)
وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ
”Chungeni viapo vyenu.” (05:89)
Hapa ni pale ambapo ataapa kwa jina la Allaah akiwa ni mkweli. Kuhusu swawm haiharibiki kwa kuapa kwa wingi. Lakini jambo hilo linaweza kupunguza thawabu zake.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (23/139) nr. (18641)
Imechapishwa: 28/09/2022
https://firqatunnajia.com/swawm-ya-anayeapa-kwa-wingi/