Swali: Je, kusimama usiku ilikuwa lazima kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Wako wanazuoni waliosema hivo. Kuna makinzano kati ya wanazuoni. Kwa sababu Allaah amesema:
وَمِنَ اللَّيْلِ فَتَهَجَّدْ بِهِ
“Amka sehemu ya usiku na uswali… “[1]
ni amri. Hii inajulisha ulazima. Wengine wakasema ni kwa njia ya mapendekezo. Wakati Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipoulizwa:
“Je, kuna kinachonilazimu zaidi ya swalah tano?” Akajibu: “Hapana, isipokuwa ukijitolea.”
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anaingia ndani ya maamrisho.
[1] 17:79
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/6690/هل-كان-قيام-الليل-واجبا-على-النبي-ﷺ
- Imechapishwa: 11/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)