Swali: Rak´ah mbili zinazokuwa baada ya kuchomoza jua ni lazima kunuia kuwa ni swalah ya Dhuhaa?
Jibu: Hata kama hakuniua kuwa ni Dhuhaa, inahesabiwa kuwa ni Dhuhaa. Hata hivyo kuswali Rak´ah zingine wakati jua limepanda juu kidogo ni bora zaidi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliswali Rak´ah nane. Kwa hivyo akiswali Rak´ah nane, sita au nne kunapendelewa zaidi.
Swali: Vipi kuhusu Hadiyth inayoeleza kuwa thawabu zake ni kama za Hijjah na ´Umrah?
Jibu: Hadiyth hiyo haina neno na njia zake ni nzuri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24884/ركعتا-الشروق-هل-ينوي-بهما-الضحى
- Imechapishwa: 27/12/2024
Swali: Rak´ah mbili zinazokuwa baada ya kuchomoza jua ni lazima kunuia kuwa ni swalah ya Dhuhaa?
Jibu: Hata kama hakuniua kuwa ni Dhuhaa, inahesabiwa kuwa ni Dhuhaa. Hata hivyo kuswali Rak´ah zingine wakati jua limepanda juu kidogo ni bora zaidi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliswali Rak´ah nane. Kwa hivyo akiswali Rak´ah nane, sita au nne kunapendelewa zaidi.
Swali: Vipi kuhusu Hadiyth inayoeleza kuwa thawabu zake ni kama za Hijjah na ´Umrah?
Jibu: Hadiyth hiyo haina neno na njia zake ni nzuri.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24884/ركعتا-الشروق-هل-ينوي-بهما-الضحى
Imechapishwa: 27/12/2024
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-shuruuk-ndio-swalah-ya-dhuhaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)