Swali: Kuna mtu nguo zake kwa ndani zilipatwa na manii ambapo akaoga josho la janaba. Lakini hata hivyo hakuosha nguo zake zilizopatwa kwa ndani. Ni ipi hukumu ya swalah?
Jibu: Swalah yake ni sahihi. Manii ni masafi.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (06) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/433/433.mp3
- Imechapishwa: 30/11/2018
Swali: Kuna mtu nguo zake kwa ndani zilipatwa na manii ambapo akaoga josho la janaba. Lakini hata hivyo hakuosha nguo zake zilizopatwa kwa ndani. Ni ipi hukumu ya swalah?
Jibu: Swalah yake ni sahihi. Manii ni masafi.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (06) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/433/433.mp3
Imechapishwa: 30/11/2018
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-nguo-ilio-na-manii/