Swali: Je, inajuzu kuwapa zakaah baadhi ya watu ambao wana maasi ya waziwazi kama kwa mfano kifaa cha dishi pamoja na kuwa wanahitajia sana?
Jibu: Ndio, inafaa kuwapa. Lakini hata hivyo inatakiwa kuweka mwakilishi pindi mtu atapochelea kuwa wataitumia katika maasi. Katika hali hiyo mtu amuombe yule baba mwenye nyumba aweke mwakilishi. Baada ya hapo mtu ampe zakaah mwakilishi yule aweze kuwanunulia vile vitu wanavyohitajia.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (06) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/433/433.mp3
- Imechapishwa: 30/11/2018
Swali: Je, inajuzu kuwapa zakaah baadhi ya watu ambao wana maasi ya waziwazi kama kwa mfano kifaa cha dishi pamoja na kuwa wanahitajia sana?
Jibu: Ndio, inafaa kuwapa. Lakini hata hivyo inatakiwa kuweka mwakilishi pindi mtu atapochelea kuwa wataitumia katika maasi. Katika hali hiyo mtu amuombe yule baba mwenye nyumba aweke mwakilishi. Baada ya hapo mtu ampe zakaah mwakilishi yule aweze kuwanunulia vile vitu wanavyohitajia.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (06) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/433/433.mp3
Imechapishwa: 30/11/2018
https://firqatunnajia.com/inafaa-kumpa-zakaah-mtenda-maasi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)