Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakumpa ruhusa kipofu…
Jibu: Hili ni wakati wa uzito na wakati wa uwepo wa mafuriko. Vinginevyo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwambia Ibn Umm Maktuum baada ya kumweleza kuwa hana mtu wa kumwongoza njia, akasema:
“Je, wasikia wito wa swalah?” Akajibu: “Ndio.” Ndipo akasema: “Basi imewajibika.”
Swalah ya mkusanyiko inamlazimu kipofu na asiyekuwa kipofu. Hata hivyo hapana neno [kuswali nyumbani] kwa sababu ya udhuru ikiwa kuna matope na utelezi baina yake na msikiti.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23733/الحكمة-من-الرخصة-للمطر-وعدم-الرخصة-للاعمى
- Imechapishwa: 17/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)