17 – Mara nyingi kujihusisha kunakuwa kutoka upande wa familia ya mke na pengine chanzo ikawa ni mke. Ikawa mwanamke ana mahusiano ya kudumu na mama yake na amefungamana naye daima na anamtegemea katika kila kitu. Mwanamke huyu akawa anapambika na woga na kutokuwa na uwezo wa kubeba yale majukumu ya kindoa. Mara nyingi mwanamke kama huyu mama yake ndiye anakuwa mwenye mamuzi na mwenye kuiongoza nyumba yote. Kwa hivyo msichana wake anamrejea mama yake katika kila kitu. Kwa mtindo huo haifai kuwa ni mke. Bali wala haifai kuwa ni mama kwa watoto wake, kwa sababu watawalea watoto wasiojiamini na wasiokuwa na utu. Kwa sababu mwanamke huyu hajiamini, hamjali mume wake, hamtaki ushauri ilihali yeye ndiye anayestahiki kutoa mawazo na mwenye kumiliki. Lakini yote hayo ameyatupilia mbali. Mwanamke kama huyu anastahiki kupewa talaka.
- Mhusika: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Twalaaq – asbaabuhu wa ´ilaajuh, uk. 35-36
- Imechapishwa: 17/04/2024
17 – Mara nyingi kujihusisha kunakuwa kutoka upande wa familia ya mke na pengine chanzo ikawa ni mke. Ikawa mwanamke ana mahusiano ya kudumu na mama yake na amefungamana naye daima na anamtegemea katika kila kitu. Mwanamke huyu akawa anapambika na woga na kutokuwa na uwezo wa kubeba yale majukumu ya kindoa. Mara nyingi mwanamke kama huyu mama yake ndiye anakuwa mwenye mamuzi na mwenye kuiongoza nyumba yote. Kwa hivyo msichana wake anamrejea mama yake katika kila kitu. Kwa mtindo huo haifai kuwa ni mke. Bali wala haifai kuwa ni mama kwa watoto wake, kwa sababu watawalea watoto wasiojiamini na wasiokuwa na utu. Kwa sababu mwanamke huyu hajiamini, hamjali mume wake, hamtaki ushauri ilihali yeye ndiye anayestahiki kutoa mawazo na mwenye kumiliki. Lakini yote hayo ameyatupilia mbali. Mwanamke kama huyu anastahiki kupewa talaka.
Mhusika: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Twalaaq – asbaabuhu wa ´ilaajuh, uk. 35-36
Imechapishwa: 17/04/2024
https://firqatunnajia.com/21-sababu-ya-kumi-na-saba-ya-talaka-ambayo-ni-mawakwe-kujihusisha-katika-maisha-ya-wanandoa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)