Swali: Kuna mwanamke mimba yake imeporomoka baada ya takriban miezi miwili na siku kumi. Je, aswali au aache kuswali?
Jibu: Ina maana siku sabini. Hapana, asiache Swalah. Hii ni damu safi na sio nifasi. Damu ya nifasi inaanza siku ya thamanini na moja. Mimba ikiingia katika arubaini ya tatu wakati ambapo mtoto anaanza kuwekwa viungo, wakati huu mimba ikiporomoka na kukaja damu baada yake inakuwa ni nifasi. Damu hii inamfanya yeye kuacha Swalah na Swawm kwa muda wa siku arubaini mpaka ikatike. Ama kabla ya kueneza siku thamanini na moja, yaani katika arubaini ya pili, hii haizingatiwi kuwa ni damu ya nifasi. Ni damu safi. Asichi kwa ajili yake Swalah wala Swawm.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12522
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Kuna mwanamke mimba yake imeporomoka baada ya takriban miezi miwili na siku kumi. Je, aswali au aache kuswali?
Jibu: Ina maana siku sabini. Hapana, asiache Swalah. Hii ni damu safi na sio nifasi. Damu ya nifasi inaanza siku ya thamanini na moja. Mimba ikiingia katika arubaini ya tatu wakati ambapo mtoto anaanza kuwekwa viungo, wakati huu mimba ikiporomoka na kukaja damu baada yake inakuwa ni nifasi. Damu hii inamfanya yeye kuacha Swalah na Swawm kwa muda wa siku arubaini mpaka ikatike. Ama kabla ya kueneza siku thamanini na moja, yaani katika arubaini ya pili, hii haizingatiwi kuwa ni damu ya nifasi. Ni damu safi. Asichi kwa ajili yake Swalah wala Swawm.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12522
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/swalah-kwa-mwanamke-iloharibika-mimba-yake-kabla-ya-siku-thamanini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)