Swali: Ni ipi hukumu ya kuhifadhi picha kwenye intaneti na mitandao mingine?
Jibu: Kuhifadhi picha haijuzu, ee ndugu! Haijuzu kuhifadhi picha. Bali lililo la wajibu ni kuichana. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema kumwambia ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anhu):
“Usiache picha [sanamu] ila hakikisha umeivunja.”
Isipokuwa tu picha za dharurah ambazo unazihitajia kwa ajili ya mambo yako, kama mfano wa leseni, pasipoti na kadhalika. Mambo ambayo huwezi kuyakosa kutokana na manufaa yako. Picha kama hizi zinahifadhiwa kwa ajili ya dharurah. Ama zingine inapaswa uzichane na usizihifadhi kwa ajili ya kumbukumbu, sanaa na mfano wa mambo kama hayo. Vilevile usizitundike kwenye kuta au kuzihifadhi kwenye sanduku.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12522
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Ni ipi hukumu ya kuhifadhi picha kwenye intaneti na mitandao mingine?
Jibu: Kuhifadhi picha haijuzu, ee ndugu! Haijuzu kuhifadhi picha. Bali lililo la wajibu ni kuichana. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema kumwambia ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anhu):
“Usiache picha [sanamu] ila hakikisha umeivunja.”
Isipokuwa tu picha za dharurah ambazo unazihitajia kwa ajili ya mambo yako, kama mfano wa leseni, pasipoti na kadhalika. Mambo ambayo huwezi kuyakosa kutokana na manufaa yako. Picha kama hizi zinahifadhiwa kwa ajili ya dharurah. Ama zingine inapaswa uzichane na usizihifadhi kwa ajili ya kumbukumbu, sanaa na mfano wa mambo kama hayo. Vilevile usizitundike kwenye kuta au kuzihifadhi kwenye sanduku.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12522
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/inafaa-kuhifadhi-picha-kwenye-kompyuta/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)